Joshua 19:1-6

Mgawo Kwa Simeoni

1 aKura ya pili ikaangukia kabila la Simeoni, ukoo kwa ukoo. Urithi wao ulikuwa ndani ya eneo la Yuda. 2 bUlijumuisha: Beer-Sheba (au Sheba), Molada,
3 cHasar-Shuali, Bala, Esemu,
4Eltoladi, Bethuli, Horma,
5Siklagi, Beth-Markabothi, Hasar-Susa,
6Beth-Lebaothi na Sharuheni; hii ilikuwa miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake.
Copyright information for SwhKC